
Thursday, March 25, 2010
wasanii wa bongo fleva wana majungu- chilla


Mwanamuziki mwenye vituko kwenye muziki wa Bongo Fleva Athuman Shaaban Katwila a.k.a Q Chilla ameibuka na kutangaza hata siku moja hatataka urafiki tena na wanamuziki wa kibongo.
Q Chilla aliyasema hayo wakati akihojiwa na kituo kimoja cha Radio nchini kwa kuulizwa yeye kumtuhumu T.I.D kuwa anamroga hivyo kushindwa kufanya kazi zake vizuri, habari ambazo ziliripotiwa na vyombo vya habari siku za nyuma.
jokate mwegelo






Saturday, March 20, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)